[Verse 1]
Uwe mbali au karibu
Moyo wangu ulishageuza nyumbani
Hebu sasa nipe jibu
Japo bado naweza subiri
[Pre-Chorus]
Twende wapi sisi?
Tuwe tu wawili
Mlango nauwacha wazi
Ila ukiingia funga basi
[Chorus]
Maaana ni mimi na wewe
Hayo mengine hatujali
Maana ni mimi na wewe
Wengine tusiwape nafasi
Baby ni wewe
Darling ni wewe
Baby ni wewe
Darling ni wewe
[Verse 2]
Mengi unatarajia
Nami nang'ang'ania
Na ulivyonivumilia
I say
Si kawaida
Mengi unatarajia
Nami nang'ang'ania
Na ulivyonivumilia
I say
Si kawaida
[Pre-Chorus]
Twende wapi sisi?
Tuwe tu wawili
Mlango uko wazi
Eh, ingia nyumbani
Twende wapi sisi?
Tuwe tu wawili
Mlango uko wazi
Eh, ingia nyumbani
[Chorus]
Maaana ni mimi na wewe
Hayo mengine hatujali
Maana ni mimi na wewe
Wengine tusiwape nafasi
Baby ni wewe
Darling ni wewe
Baby ni wewe
Darling ni wewe
[Bridge]
Hakuna
Lakulinganishwa
Au kufananishwa na wewe
Hakuna
Linaloweza
Kututenganisha
[Chorus]
Maaana ni mimi na wewe
Hayo mengine hatujali
Maana ni mimi na wewe
Wengine tusiwape nafasi
Baby ni wewe
Darling ni wewe
Baby ni wewe
Darling ni wewe