[Intro]
Samaaaaa!
[Verse 1]
Ulivyoniacha ulijua nitakufa
Ulivyoniacha ulijua nitaded
Ona mungu kanipigania mi nanenepa
Ona baba yeye kanipigania
[Pre Chorus]
Sasa sasa hasira zanini (hasira zanini)
Makasiriko ya nini
We si uliniacha jamani
Una wako nyumbani
[Chorus]
Mr Dj weka wimbo
Nataka ex anione nimenunua iphone
Mr Dj weka wimbo
Nataka nimkere ex mpaka atoke humo ndani
Ebu toka hapa mwenzio nishajipata
Nishajipata mwenzio nishajipata
[Verse 2]
Mapenzi kudadadek
Mtu unampa moyo vyote kapiga deki
Toka hapa baba hunipati
Japo ata mia sina ila haunishiki
[Pre Chorus]
Sasa sasa hasira zanini (hasira zanini)
Makasiriko ya nini
We si uliniacha jamani
Una wako nyumbani
[Chorus]
Mr Dj weka wimbo
Nataka ex anione nimenunua iphone
Mr Dj weka wimbo
Nataka nimkere ex mpaka atoke humo ndani