Video de: Mtaalam Lyrics Mbosso » Pop Fox.MusicaDe.Win

Bienvenidos a Fox.MusicaDe.Win Disfruta del Video de: Mtaalam 2025 Mbosso » Pop y comparte musicas con los amigos, Musica Gratis 2025! Fox.MusicaDe.Win!.

Video de: Mtaalam Lyrics Mbosso » Pop

Mbosso - Mtaalam Lyrics


Paroles de la chanson Mtaalam par Mbosso
Na Mbosso Khan tena 
(Sounds by Abbah)
Una kila sababu
Ya kusimama kimaso maso
Mungu kweli wa ajabu
Kanionyesha kwa yangu macho
Chukua zangu swahabu
Mi nibaki na dhambi zako
Unishikishe adabu
Mida ya kulala nitokwe jasho
Mi sijui kupigna mwili wangu wa mapensi dear
Tusipende kugombana mi mwepesi kulialia
Si kujibanabana, raha ya penzi kujiachia
Wako mahututi mama, nimekufa nimejifia 
Eeeh! Nalambishwa asali
Kwenye mzinga wa nyuki, tamu ni hatari
Nalambishwa asali
Nachezeshwa buzuki, dudu chalichali
Nimempata!
Nimempata mtaalam nimempata
Nimempata mtaalam nimempata
Nimempata mtaalamu nimempata
Nimempata mtaalamu nimempata
Mi mTanzania wa halali, ila chembechembe za India
Mungu kaninyima ufahari, ila kwa huba najisifia
Sitakuhonga magari, ila mahaba utasanzia
Penzi kachumbari kwa ugali na pilipili ya kushagia

Aah eeh! Nikuite nani? 
Majina yote nishamaliza
Aah eeh! Wangu wa ubani
Umeweza kunituliza
Aah eeh! Mambo ya chumbani
Yaani nalala huku napulizwa
Aah eeh! Penzi zito tani
Napewa raha kupitiliza 
Eeeh! Nalambishwa asali
Kwenye mzinga wa nyuki, tamu ni hatari
Nalambishwa asali
Nachezeshwa buzuki, dudu chalichali
Nimempata! Nimempata mtaalam nimempata
Nimempata! Nimempata mtaalam nimempata
Mtaalamu wa mapenzi
Nimempata mtaalamu nimempata
Fundi wa mafundi kungwi
Nimempata mtaalamu nimempata
(Kwa Mix Lizer)
Wasafi

Mtaalam » Mbosso Letras !!!
Esta web no aloja ningun archivo mp3©Fox.MusicaDe.Win 2025 Colombia - Chile - Argentina - Mexico. All Rights Reserved.

Musica Online, Escuchar musica online , Musica En Linea, Musica en linea gratis, Escuchar Musica Gratis, Musica Online 2025, Escuchar Musica

Musica 2025, Musica 2025 Online, Escuchar Musica Gratis 2025, Musica 2025 Gratis, Escuchas, Musica de Moda.